MzeeBarwani
MzeeBarwani
  • 53
  • 859 379
Tanganyika Islamophobia
Tanganyika authorities are publicly declaring their enmity to Islam, Arabs and Zanzibaris. Here are 2 high government officials, members of the ruling party, the parliament and the cabinet (Samuel Sitta and William Lukuvi) openly propagate their hatred. This discrimination based on race, religion and geographical origin is in contrast to human rights and Tanzanian constitution.
Переглядів: 4 133

Відео

26 Haki za Binadamu
Переглядів 12 тис.8 років тому
Aman Thani anaelezea maonevo waliopatishwa wananchi wa Zanzibar. Wanamapinduzi wameuwana wenyewe kwa wenyewe. Baada ya miaka yote hii hapana faida yoyote ya mapinduzi.
25 Ahmed Diria 2
Переглядів 17 тис.8 років тому
Aman Thani anaendelea kueleza maovu ya Ahmed Hasan Diria alipokua Pemba.
24 Ahmed Diria 1
Переглядів 23 тис.8 років тому
Aman Thani anamkumbuka Ahmed Hasan Diria alipopiga watu viboko Pemba. Waliopigwa walikua watu wazima wenye heshima kubwa kwa watu.
23 Rashid Abdalla Mamba
Переглядів 15 тис.8 років тому
Rashid Abdalla (Mamba) kawaadhibu watu Pemba kwa kila adhabu. Akinyang"anya wasafiri dhahabu na mapambo yao. Akiyayusha dhahabu, anachukua chake na ziliobaki anampelekea Karume, Zanzibar. Zikifika dhahabu kwa Karume hazionekani tena.
22 Maovu ya Mapinduzi
Переглядів 46 тис.8 років тому
Aman Thani anamuelezea Ibrahim Noor maovu ya mapinduzi. Kushrehekea mapinduzi ni aibu kubwa. Faida gani ya mapinduzi yamepatikana baada ya miaka yote hii?
21 Haki Lazima Ipatikane
Переглядів 21 тис.8 років тому
Mdungi Usi, Jaha Ubwa, Jimi Ringo, Khamis Masoud na Nadhifu wamechukuliwa kutoka gereza ya Langini. Askari wakamuambia Aman Thni na wenziwe kwamba hao wote wameuliwa. Aman anasema: "Iko siku lazima wananchi wa Zanzibar iwatake serikali ieleze vifo vya watu hawa."
19 Kisa cha Hanga 2
Переглядів 38 тис.8 років тому
Hanga na Kambona walikua marafiki sana. Kambona kachukiza kwa Nyerere na Hanga kachukiza kwa Karume. Nyerere kamkamata Hanga akamrudisha Zanzibar kwa Karume, akateswa na akauliwa.
20 Jaha Ubwa
Переглядів 25 тис.8 років тому
Jaha Ubwa alipokua gerezani watu wa Makunduchi wakamkejeli; "Tulipotaka kusali Ijumaa ukatukataza na ukasema dhambi zenu leo nitazichkua mimi." Jaha Ubwa alilia machozi.
18 Kisa cha Hanga 1
Переглядів 27 тис.8 років тому
Hanga alifanya kazi vizuri na Karume, lakini baada ya mapinduzi Karume hakupendezewa na mapenzi ya watu kwa Hanga. Hanga akaondolewa Zanzibar kupelekwa Dar-es-Salaam.
17 Yalomkuta Saleh Sadalla
Переглядів 33 тис.8 років тому
Saleh Sadalla aligombana na Karume kwa sababu ya mwanamke. Karume alimtukana Sasalla kwenye kikao cha baraza la mapinduzi. Karume kataka kumpiga Sadalla na Sadalla akataka kumpiga risasi Karume, hakufaulu. Kwahivyo Sadalla kafungwa na baadae Karume kamuua.
16 Kutoka Gerezani 1967
Переглядів 27 тис.8 років тому
Februari 1967 Aman Thani na wafungwa wa siasa wameletwa kutoka Langoni kuletwa gereza la Kilimani. Karume na memba wa baraza la mapinduzi wamekuja jela kuwafungua baada ya kufungwa miaka mitatu.
15 Langoni na Kilonzi
Переглядів 14 тис.8 років тому
Bwana Aman Thani anaendelea kuhojiwa na Profesa Ibrahim Noor katika mwaka 2000. Anaeleza shida zaq gereza ya Langoni. Mwezi wa Ramadhani, Kilonzi (mkubwa wa jela) aliwaachia wafungwa kupokea vyakula vikavu kutoka majumbani. Pia Kilonzi aliwapunguzia saa za kazi na kufanya darasa za dini mwezi huo mtukufu.
14 Kwa BaMkwe Tena
Переглядів 20 тис.8 років тому
Aman Thani Fairuz anaelezea yaliompata baada ya kukimbia Abdulaziz Twala na Idris Majura kutoka jela ya Langoni. Aman alijua na yeye atingia matatani kwa sibabu ya urafiki wake nao. Kachukuliwa kutoka Langoni akapelekwa gereza ya Kiinuamiguu akatiwa condemn cell. Baada ya masiku akahamishwa akapelekwa kwa Bamkwe (Mandera).
13 Twala Kakimbia Jela
Переглядів 30 тис.8 років тому
Aman Thani Fairuz anaelezea Idrisa Majura ameelezea kwamba Othman Shariff na Kasim Hanga tulikua pamoja kwa Mandera. Wote Othman na Hanga wameuliwa. Twala na Idrisa na Aman walifanya mipango ya kukimbia jela pamoja. Aman hakuyapenda mipango yao, wakakimbia pekeyao.
11 Twala Yuko Jela
Переглядів 25 тис.8 років тому
11 Twala Yuko Jela
12 Twala Kanielezea Jela
Переглядів 21 тис.8 років тому
12 Twala Kanielezea Jela
10 Jela 1969
Переглядів 14 тис.8 років тому
10 Jela 1969
8 Athabu kwa Mandera
Переглядів 21 тис.8 років тому
8 Athabu kwa Mandera
7 Siku ya Kwanza kwa Bamkwe
Переглядів 16 тис.8 років тому
7 Siku ya Kwanza kwa Bamkwe
9 Kutoka kwa Mandera Kurudi Jela
Переглядів 16 тис.8 років тому
9 Kutoka kwa Mandera Kurudi Jela
6 Kurudishwa Zanzibar
Переглядів 13 тис.8 років тому
6 Kurudishwa Zanzibar
5 Nimekamatwa Dar Es Salaam
Переглядів 19 тис.8 років тому
5 Nimekamatwa Dar Es Salaam
4 Chakula na Magonjwa Langoni
Переглядів 8 тис.8 років тому
4 Chakula na Magonjwa Langoni
1 Mwaka wa Mwanzo Jela
Переглядів 11 тис.8 років тому
1 Mwaka wa Mwanzo Jela
2 Kufungwa Miaka Kumi
Переглядів 10 тис.8 років тому
2 Kufungwa Miaka Kumi
3 Jela ya Langoni
Переглядів 6 тис.8 років тому
3 Jela ya Langoni
13. Mapinduzi Zanzibar
Переглядів 39 тис.8 років тому
13. Mapinduzi Zanzibar
12. Serikali ya Madaraka Mpaka Uhuru
Переглядів 6 тис.8 років тому
12. Serikali ya Madaraka Mpaka Uhuru
11. Mauwaji ya June 1961, Zanzibar
Переглядів 51 тис.8 років тому
11. Mauwaji ya June 1961, Zanzibar

КОМЕНТАРІ

  • @charlesbibombe2301
    @charlesbibombe2301 8 днів тому

    Duuh, tumedanganywa Sana kuhusu mapinduzi ya Zanzibar. Nipo bara natetemeka mzee anavosimulia haya

  • @charlesbibombe2301
    @charlesbibombe2301 Місяць тому

    Sawa, lakini wangepelekwa mahakamani na kesi ikasikilizwa kwa haki. Hakika hiyo Ni dhuluma mbaya waliyofanyiwa

  • @LovelyBubbleTea-vz4ol
    @LovelyBubbleTea-vz4ol Місяць тому

    Kumkubali sio kumkubari

  • @LovelyBubbleTea-vz4ol
    @LovelyBubbleTea-vz4ol Місяць тому

    Wewe mbara sio wakoroni atakiswahilli chako kinaonesha

  • @LovelyBubbleTea-vz4ol
    @LovelyBubbleTea-vz4ol Місяць тому

    Huy sio kibaraka alikua kiongozi

  • @LovelyBubbleTea-vz4ol
    @LovelyBubbleTea-vz4ol Місяць тому

    Wewe mbara ?

  • @LovelyBubbleTea-vz4ol
    @LovelyBubbleTea-vz4ol Місяць тому

    Huna akili wewe mlevi

  • @charlesbibombe2301
    @charlesbibombe2301 Місяць тому

    Nafuatilia darasa la mzee huyu, alitakiwa apewe tuzo

  • @charlesbibombe2301
    @charlesbibombe2301 Місяць тому

    Matatizo Kama hayo kwenye jamii huisha kwa kufanya maridhiano na kuombana msamaha. Viongozi wenu wajiandae kwa Hilo.

    • @HassaniMzee
      @HassaniMzee День тому

      Wengi waliotendewa uovu huo wameshatangulia mbele ya haki msamaha aombwe nani

  • @charlesbibombe2301
    @charlesbibombe2301 Місяць тому

    Hongera Sana mzee kwa kuongea unachokikumbuka. Hakika Maovu hutendeka gizani, lakini mwisho hujulikana kwenye Nuru

  • @charlesbibombe2301
    @charlesbibombe2301 Місяць тому

    Kuna haha ya utawala Zanzibar kuwaomba radhi wahanga wa mateso. Huyo mzee anakumbuka kila kitu, na hii Ni imeandikwa

  • @hassansugha5935
    @hassansugha5935 Місяць тому

    Yaani ukisikilza kma sio zanzibar hii duugh

  • @hassansugha5935
    @hassansugha5935 Місяць тому

    Naziftitilia hz clps za mapinduzi ya Zanzibar Dah kumbe tulidanganywa sana

  • @abdallasheha4173
    @abdallasheha4173 Місяць тому

    Ndio mpaka Leo wanasema uwongo ndani ya mskiti

  • @user13375
    @user13375 Місяць тому

    Pua refu ,mwarab ww

  • @user-xv4tl8iv4l
    @user-xv4tl8iv4l 2 місяці тому

    UNAPOSEMA WAARABU WAMEKUJA MIAKA ZAIDI YA ELFU . WALIPOKUJA WALIKUTA HII UNGUJA HAMNA MTU. KISIWA KITUPU AU WALIKUTA WATU. UNAPOSEMA WAAFRIKA WA KIBANTU SIO WAARIKA WA WAKATI HUO UNAMAANA GANI. UNALIHASIMISHA VIPI KUKU NA YAI. WACHA UNAFIKI

  • @user-xv4tl8iv4l
    @user-xv4tl8iv4l 2 місяці тому

    hana lolote mnafiki huyu. tunamjua mtwana mkubwa kusema hayo na mengine na huo umri anaosema ni muongo. aje nimuoneshe kipande/kibali cha kupatachakula 1918 cha baba yangu kipo. mwafrika anapata chakula dona ratili 3,sukari ratili 1. mchele ratili 2 kwa mwezi , waarabu hakuna kitu kama chakula na kidogo afadhali uwe mngazija.

  • @mwanaidialiame318
    @mwanaidialiame318 2 місяці тому

    Subhanallah 😢😢

  • @user-yy6vy4xu2s
    @user-yy6vy4xu2s 3 місяці тому

    Nchiii kisha isidamirike.

  • @user-yy6vy4xu2s
    @user-yy6vy4xu2s 3 місяці тому

    Na kizuri walifanyiana ubaya wenyewe kwa wenyewe.

  • @user-yy6vy4xu2s
    @user-yy6vy4xu2s 3 місяці тому

    Genge la tupendane lilokuwa miembeni lililokuwa lilokuwa likizaminiwa na Karume na chama chake cha ASP ndio walofanza hale.

  • @user-yy6vy4xu2s
    @user-yy6vy4xu2s 3 місяці тому

    Diria aliishia wapi na vpi?

  • @user-yy6vy4xu2s
    @user-yy6vy4xu2s 3 місяці тому

    Mungu akulaze pema mzee wetu

  • @alialamoudi9729
    @alialamoudi9729 3 місяці тому

    Baada ya kupata uhuru kulikuwa NA serekali ya halali ilichaguliwa NA wazanzibari

  • @alialamoudi9729
    @alialamoudi9729 3 місяці тому

    Huyo mzee ni mzanzibari kuhusu waarbu ni tarahe miyaka mia tisa 900 iliyo pita wakazaliyana humo humo zanzibari NA kuona kuhusu oman NA zanzibari ilishagawanyka toka kitambo zanzibari peke yake NA oman peke yake zanzibari ikawa chini ya ukoloni ya ungereza pamoja NA tanganika nchi mbili hizo zilipata uhuru tanganika NA zanzibar kutoka kwa mwengerza baada ya uhuru wa zanzibari ilifanwa uchaguzi NA wazanzibari wenyewe kwa hiyari yao matokeo kundi la wazanzibari wenye asili ya waarabu ilishinda hao ni wazaliwa pemba ni wanainchi wakapendwa ile mbaya NA wazanzibari kwa uwema wao uadilifu uaminifu wao sasa ubaya gani kuwa wanaasili ya kiyarabu raisi wa malaziya alikuwa mwarabu raisi wa amerka alikua mkenya yani zanzibari elikua dola peke yake ina kiti katika umoja wa mataifa NA elikua NA pasport NA mabalozi duniani NA klikua NA amani hana thulma uhakika ni kwamba vibaraka kutoka zanzibari ndio wameharibu nchi kwa msaada ya ungereza NA tanganika nchi ikavamiwa usiku wa manane NA majeshi kutoka bara NA kiongozi wao alikuwa jhon okeli wakati siku ile karume alikuwa dar eslaam kwa nyerere wakingojea matokeo ya uvamizi inayo sikitisha ni kwamba walivyo uliwa watu wasio NA hatia raia wa kawaida waliwatoa manyumbani usiku NA kuwapanga fuleni NA wote walipigwa raisi bila huruma watoto wadogo NA wazee NA wanawake NA wanaume wakawapanga fuleni NA wote walipigwa raisi NA serekali ya zanzibari ikapotea ikaja utawala wa namna nyingine au ukoloni mpya wakaita mapinduzi NA tena matakatifu itakuaje kuwaua waslam mwenzio NA kiuta mapinduzi matakatifu ajabu sana

  • @Worldunite
    @Worldunite 4 місяці тому

    Oyaaa, waarabu zanzibar SIO KWAO BALI WALIKUJA ZNZ NA PEMBA, waliwakuta WABANTU WAAFRIKA WEUSI AMBAO NI WAZAWA

  • @user-nv7jg6xc8l
    @user-nv7jg6xc8l 4 місяці тому

    Me naona uzanzibar ulikua mbele tu lakin kikubwa tatzo ilikua ni uislam sababu hta kafiri nyelele kwenye moja ya hutuba alisema uzanzibar na uislamu. Pia Kafiri William lukuvi moja ya clip aliwah kusema uislam Zanzibar ni tishio kwa hyo ni dhulma juu ya uislam

  • @AbdallaMwagora-sm1rj
    @AbdallaMwagora-sm1rj 4 місяці тому

    Mm ni mtanganyika lkn sifurahii mateso waliopitia wazanzibari.

    • @user-et9vf2ro2k
      @user-et9vf2ro2k 4 місяці тому

      Wewe sio mtanganyika t wewe ni binaadamu mwenye kuujua utu

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 5 місяців тому

    👍👊✌️.

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 5 місяців тому

    ✌️👊👍.

  • @salumhassanallymkurdistan7006
    @salumhassanallymkurdistan7006 5 місяців тому

    HISTORIA YA UKWELI KABISA WALA HAONA CHENGA

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 5 місяців тому

    👍✌️👊.

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 5 місяців тому

    ✌️👊👍。

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 5 місяців тому

    👊✌️👍。

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 5 місяців тому

    ✌️👊👍.

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 5 місяців тому

    👊✌️👍.

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 5 місяців тому

    ✌️👊👍.

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 5 місяців тому

    ✌️👍

  • @user-sp5mq1vh5v
    @user-sp5mq1vh5v 5 місяців тому

    Heee lazima tujue kwa nn wazanzibar watiwe jela ya dodoma

  • @EshaHamd-ed9yv
    @EshaHamd-ed9yv 5 місяців тому

    Wewe mshenzi wacha kumzuilia Marehemu katika Mambo haya je kama ni baba yako ungalifurahia mpaka leo bado unao uchungu na maiti lol umezidi

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 5 місяців тому

    ✌️👊🙏.

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 5 місяців тому

    👊✌👍.

  • @user-gd2xj3xd1b
    @user-gd2xj3xd1b 6 місяців тому

    Hatar hiii kubarikiwa nch na mungu kisha tukakubal kuiachia kirahisi very awesome people

  • @suleimanharoub4982
    @suleimanharoub4982 8 місяців тому

    wengi walioua kwa dhulma nao huishia kudhulumiwa ukiua kwa upanga jiandae na wewe kuuawa kwa upanga pia

  • @salimabdallah5176
    @salimabdallah5176 8 місяців тому

    DHIKRI FIKRI SHUKRI SUBRI

  • @asilclub
    @asilclub 10 місяців тому

    [10/09, 2:26 pm] Portorico: ua-cam.com/video/XyoSo7Tr9kQ/v-deo.html [10/09, 5:13 pm] Portorico: ua-cam.com/video/OUImP-Tze7k/v-deo.html التواجد العماني في تنزانيا وزنجبار [10/09, 5:13 pm] Portorico: ua-cam.com/video/2qoeh8zDMaE/v-deo.html العمانيون في بوروندي [10/09, 5:13 pm] Portorico: ua-cam.com/video/ZqgL9-X-acQ/v-deo.html العمانيون في تنزانيا شينانغا [10/09, 5:13 pm] Portorico: ua-cam.com/video/a6OWaGE6kGg/v-deo.html العمانيون في زنجبار [10/09, 5:13 pm] Portorico: ua-cam.com/video/UfIUy8P38kg/v-deo.html العمانيون حكام زنجبار [10/09, 5:13 pm] Portorico: ua-cam.com/video/LlJ8TyOZovc/v-deo.html السلطان العماني في ممباسا [10/09, 5:13 pm] Portorico: ua-cam.com/video/aOyhJceCUuQ/v-deo.html الشيخ سالم الريامي في زنجبار [10/09, 5:13 pm] Portorico: ua-cam.com/video/Xb5KmiCiPjs/v-deo.html زنجبار عاصمة سلطنة عمان في شرق افريقيا [10/09, 5:13 pm] Portorico: ua-cam.com/video/d8c4wmVUpHE/v-deo.html عمان وزنجبار [10/09, 5:13 pm] Portorico: ua-cam.com/video/a6OWaGE6kGg/v-deo.html [10/09, 5:13 pm] Portorico: ua-cam.com/video/ZPJhrfAMavM/v-deo.html القبائل العمانية في زنجبار [10/09, 5:13 pm] Portorico: ua-cam.com/video/Rfd4OhwRNLU/v-deo.html [10/09, 5:13 pm] Portorico: مجازر ضد العمانيين في زنجبار ua-cam.com/video/P54EFzJRnXc/v-deo.html مجازر ضد العمانيين في زنجبار ua-cam.com/video/CfNJcKBX47w/v-deo.html [11/09, 8:16 am] Portorico: ua-cam.com/video/BNxMJ3QPLJA/v-deo.html عمان وزنجبار [11/09, 8:33 am] Portorico: ua-cam.com/video/2qoeh8zDMaE/v-deo.html العمانيون في بوروندى الجزء ٢ [11/09, 8:35 am] Portorico: ua-cam.com/video/qxS5wZlbQwI/v-deo.html العمانيون بوروندي الجزء ١ [11/09, 8:38 am] Portorico: ua-cam.com/video/2nHQK27kiQ0/v-deo.html زنجبار والمرجبي [11/09, 8:41 am] Portorico: ua-cam.com/video/BtstD5hN9sg/v-deo.html العمانيون في تانجا TANGA [16/09, 12:17 am] Portorico: ua-cam.com/video/7wJoNDr9ziM/v-deo.html [16/09, 12:20 am] Portorico: ua-cam.com/video/7wJoNDr9ziM/v-deo.html [18/09, 6:17 pm] Portorico: ua-cam.com/video/LlJ8TyOZovc/v-deo.html [18/09, 6:18 pm] Portorico: ua-cam.com/video/Xb5KmiCiPjs/v-deo.html [18/09, 6:19 pm] Portorico: ua-cam.com/video/d8c4wmVUpHE/v-deo.html [18/09, 6:20 pm] Portorico: ua-cam.com/video/omzueNwrEWo/v-deo.html

  • @asilclub
    @asilclub 10 місяців тому

    [10/09, 2:26 pm] Portorico: ua-cam.com/video/XyoSo7Tr9kQ/v-deo.html [10/09, 5:13 pm] Portorico: ua-cam.com/video/OUImP-Tze7k/v-deo.html التواجد العماني في تنزانيا وزنجبار [10/09, 5:13 pm] Portorico: ua-cam.com/video/2qoeh8zDMaE/v-deo.html العمانيون في بوروندي [10/09, 5:13 pm] Portorico: ua-cam.com/video/ZqgL9-X-acQ/v-deo.html العمانيون في تنزانيا شينانغا [10/09, 5:13 pm] Portorico: ua-cam.com/video/a6OWaGE6kGg/v-deo.html العمانيون في زنجبار [10/09, 5:13 pm] Portorico: ua-cam.com/video/UfIUy8P38kg/v-deo.html العمانيون حكام زنجبار [10/09, 5:13 pm] Portorico: ua-cam.com/video/LlJ8TyOZovc/v-deo.html السلطان العماني في ممباسا [10/09, 5:13 pm] Portorico: ua-cam.com/video/aOyhJceCUuQ/v-deo.html الشيخ سالم الريامي في زنجبار [10/09, 5:13 pm] Portorico: ua-cam.com/video/Xb5KmiCiPjs/v-deo.html زنجبار عاصمة سلطنة عمان في شرق افريقيا [10/09, 5:13 pm] Portorico: ua-cam.com/video/d8c4wmVUpHE/v-deo.html عمان وزنجبار [10/09, 5:13 pm] Portorico: ua-cam.com/video/a6OWaGE6kGg/v-deo.html [10/09, 5:13 pm] Portorico: ua-cam.com/video/ZPJhrfAMavM/v-deo.html القبائل العمانية في زنجبار [10/09, 5:13 pm] Portorico: ua-cam.com/video/Rfd4OhwRNLU/v-deo.html [10/09, 5:13 pm] Portorico: مجازر ضد العمانيين في زنجبار ua-cam.com/video/P54EFzJRnXc/v-deo.html مجازر ضد العمانيين في زنجبار ua-cam.com/video/CfNJcKBX47w/v-deo.html [11/09, 8:16 am] Portorico: ua-cam.com/video/BNxMJ3QPLJA/v-deo.html عمان وزنجبار [11/09, 8:33 am] Portorico: ua-cam.com/video/2qoeh8zDMaE/v-deo.html العمانيون في بوروندى الجزء ٢ [11/09, 8:35 am] Portorico: ua-cam.com/video/qxS5wZlbQwI/v-deo.html العمانيون بوروندي الجزء ١ [11/09, 8:38 am] Portorico: ua-cam.com/video/2nHQK27kiQ0/v-deo.html زنجبار والمرجبي [11/09, 8:41 am] Portorico: ua-cam.com/video/BtstD5hN9sg/v-deo.html العمانيون في تانجا TANGA [16/09, 12:17 am] Portorico: ua-cam.com/video/7wJoNDr9ziM/v-deo.html [16/09, 12:20 am] Portorico: ua-cam.com/video/7wJoNDr9ziM/v-deo.html [18/09, 6:17 pm] Portorico: ua-cam.com/video/LlJ8TyOZovc/v-deo.html [18/09, 6:18 pm] Portorico: ua-cam.com/video/Xb5KmiCiPjs/v-deo.html [18/09, 6:19 pm] Portorico: ua-cam.com/video/d8c4wmVUpHE/v-deo.html [18/09, 6:20 pm] Portorico: ua-cam.com/video/omzueNwrEWo/v-deo.html

  • @user-vi3xx5ew5i
    @user-vi3xx5ew5i 10 місяців тому

    Kumbe unauarabu !!! "Musliman brother hood" nyinyi mlivyowatesa watu weusi mbona hamuzungumuzi ?

  • @user-vi3xx5ew5i
    @user-vi3xx5ew5i 10 місяців тому

    Ingeachiwa hiyo brother hood chimbuka toka Misri nchi ingeharibika na km uonavyo mpk Leo Misri imeharibika nchi haiongozo Kwa dini

  • @user-vi3xx5ew5i
    @user-vi3xx5ew5i 10 місяців тому

    Unamutoleya rais bastola. ? Unafikikiya nn. ? Kisa kuma za Kizanji za wote haya limekukuta majuto mjukuu yote hii elimu Dunia angekuwa nayo yasingemukuta Karume hajasoma harafu unashindana naye